1 Chronicles 1:5-10
Wana Wa Yafethi
5 Wana wa Yafethi walikuwa:
Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Wana wa Gomeri walikuwa:
Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa:
Al-Yasa, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Wana Wa Hamu
8 aWana wa Hamu walikuwa:
Kushi, Misri, ▼
▼ Yaani Misri.
Putu na Kanaani.9 Wana wa Kushi walikuwa:
Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.
Wana wa Raama walikuwa:
Sheba na Dedani.
10 cKushi akamzaa
Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Copyright information for
SwhKC