1 Chronicles 1:5-10

Wana Wa Yafethi


5 Wana wa Yafethi walikuwa:
Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

6 Wana wa Gomeri walikuwa:
Ashkenazi, Rifathi na Togarma.

7 Wana wa Yavani walikuwa:
Al-Yasa, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

Wana Wa Hamu


8 aWana wa Hamu walikuwa:
Kushi, Misri,
Yaani Misri.
Putu na Kanaani.

9 Wana wa Kushi walikuwa:
Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.
Wana wa Raama walikuwa:
Sheba na Dedani.

10 cKushi akamzaa
Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Copyright information for SwhKC